Tuesday, June 02, 2015

TIGO YAZINDUA DUKA MOSHI MJINI

LE1Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas T. Gama akiongea na waandishi wa habari na wageni waalikwa(hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Tawi la Tigo Moshi Mjini jana, wengine kulia Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe. Novatus Makunga na kushoto Meneja wa Ubora huduma kwa Wateja Tigo, Mwangaza Matotola.
LE2Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas T. Gama aikata utepe kuzindua rasmi Tawi la Tigo Moshi Mjini jana, wanaoshuhudia kulia ni Gwamaka Mwakilembe, Meneja huduma kwa wateja Kanda ya Kaskazini na kushoto ni Meneja wa ubora huduma kwa wateja Tigo, Mwangaza Matotola.
LEO4Meneja huduma kwa wateja Kanda ya Kaskazini, Gwamaka Mwakilembe akitoa maelezo kwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas Gama juu ya bidhaa zilizopo ndani ya Duka la Tigo lililozinduliwa Moshi Mjini jana.
LEO5Meneja wa Ubora huduma kwa Wateja Tigo, Mwangaza Matotola akiongea na waandishi wa habari na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa Duka la Tigo Moshi Mjini, wengine kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mhe. Leonidas Gama na kulia Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe. Novatus makunga.
LEO7Meneja wa Mawasiliano Tigo, John Wanyancha akiongea na waandishi na wageni waalikwa kwenye uzinduzi wa Duka la Tigo moshi Mjini.
LEO8Mkuu wa Wilaya ya Moshi Mhe. Novatus Makunga akiongea na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa Tawi la Tigo Moshi Mjini, wengine kutoka kushoto Mkuu wa Mkoa Kilimanjaro Mhe. Leonidas Gama, Katibu wa Mkuu wa Mkoa Daniel Mchomvu na kulia ni Meneja wa ubora hudma kwa Wateja Tigo, Mwangaza Matotola
LEO9
Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuini ya Tigo wakimsikiliza mgeni rasmi Mhe. Leonnidas Gama wakati wa uzinduzi wa Duka la Tigo moshi Mjini.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...