RAIS KIKWETE ATUNUKIWA TUZO NA TUCTA
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea tuzo maalumu toka kwa Gratian Mukoba, Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA) wakati wa kilele cha Mei Mosi Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza jana mei 1, 2015.
No comments:
Post a Comment