Thursday, August 29, 2013

EDWARD LOWASSA ASHEHEREKEA MIAKA YAKE 60 YA KUZALIWA


Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli mkoani Arusha, Edward Lowassa akilishwa kipande cha keki na mkewe wakati wa maadhimisho ya siku yake ya Kuzaliwa ambapo kiongozi huyo alitimiza miaka 60 Agosti 26, mwaka huu. Tafrija hiyo ambayo alijumuika na wajukuu zake ilifanyika nyumbani kwake Monduli.
 
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Monduli mkoani Arusha, Edward Lowassa akimlisha keki mkewe wakati wa maadhimisho ya siku yake ya Kuzaliwa ambapo kiongozi huyo alitimiza miaka 60 Agosti 26, mwaka huu. Tafrija hiyo ambayo alijumuika na wajukuu zake ilifanyika nyumbani kwake Monduli.  
 waziri mkuu mstaafu na mbunge wa monduli Mh Edward Lowassa akiwa na wajukuu zake tayari kukata keki ya sherehe ya kutimiza miaka 60 ya kuzaliwa kwake tarehe 26 aliyoandaliwa na mkewe mama Regina Lowassa huko Hekima Garden mikocheni.

 Wajukuu wakimwimbia Babu Happy Birthday!!
 Mishumaa iliwashwa

 babu kata kekiii tuleeeeeee 
 Bibi alisaidia kukata keki hiyo...
 Makamanda wakiisubiri kwa hamu....
 kumbato la pongezi kutoika kwa mkewe.

 Mzee Lowassa akilishwa keki na mtoto wake Freddy Lowassa.
 Freddy nae akilishwa keki na baba.
SOURCE. http://mrokim.blogspot.com/

No comments: