Monday, August 05, 2013

YANGA ILIVYOIFYATUA MTIBWA SUGAR 3-1


 Mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima akimtoka beki wa Mtibwa Sugar, Hassan Ramadhan wakati wa mchezo wa kirafiki uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Beki wa Mtibwa Sugar, Ally Lundega akimiliki mpira huku akizongwa na mshambuliaji wa Yanga, Haruna Niyonzima wakati wa mchezo wa kirafiki uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
Beki wa Mtibwa Sugar, Salvatory Ntebe akichuana na mshambuliaji wa Yanga wakati wa mchezo wa kirafiki uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam. Yanga imeshinda 3-1.
Sehemu ya Mashabiki wa Yanga.Picha Zote na Dande Francis

No comments: