Wednesday, August 28, 2013

Mamia ya wananchi wa mji wa Iringa Wajitokeza Kwenye Mkutano wa Chadema

  Sehemu ya mamia ya wananchi wa mji wa Iringa wakishangilia kwa nguvu wakati Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mbunge wa Singida Mashariki , Tundu Lissu( wa kwanza kushoto)akiwa na  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe wakiwasili kuwahutubia maelfu ya wananchi wa mji wa Iringa katika mkutano wa hadhara wa Mabaraza ya Wazi ya kujadili rasimu ya katiba mpya
 Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mbunge wa Singida Mashariki , Tundu Lissu,akiwapungia mamia ya wanachama wa chadema muda mfupi kabla ya kuhutubia mkoani iringa katika mkutano wa hadhara wa Maraza ya Wazi ya Rasimu ya katiba mpya,
 Mkurugenzi wa Sheria na Haki za Binadamu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mbunge wa Singida Mashariki , Tundu Lissu( wa kwanza kushoto)akiwa na  Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe wakiwasili kuwahutubia maelfu ya wananchi wa mji wa Iringa katika mkutano wa hadhara wa Mabaraza ya Wazi ya kujadili rasimu ya katiba mpya
 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Mbunge wa Hai, Freeman Mbowe akiwahutubia maelfu ya wananchi wa mji wa Iringa katika mkutano wa hadhara wa Mabaraza ya Wazi ya kujadili rasimu ya katiba mpya. Picha na Kurugenzi Mawasiliao-Chadema.

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...