Monday, August 12, 2013

FEZA KESSY NAYE AONDOLEWA BIG BROTHER 'THE CHASE'

Feza Kessy
MTANZANIA pekee aliyekuwa amebaki katika mjengo wa Big Brother 
Africa 'The Chase', Feza Kessy naye ameondolewa katika jumba hilo. 
Feza ametolewa katika shindano hilo akiwa mshiriki wa 20 kuaga shindano 
hilo ikiwa ni wiki chache mwenzake kutoka hapa nchini Ammy Nando 
kutolewa katika mjengo huo.

No comments:

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...