Monday, August 12, 2013

FEZA KESSY NAYE AONDOLEWA BIG BROTHER 'THE CHASE'

Feza Kessy
MTANZANIA pekee aliyekuwa amebaki katika mjengo wa Big Brother 
Africa 'The Chase', Feza Kessy naye ameondolewa katika jumba hilo. 
Feza ametolewa katika shindano hilo akiwa mshiriki wa 20 kuaga shindano 
hilo ikiwa ni wiki chache mwenzake kutoka hapa nchini Ammy Nando 
kutolewa katika mjengo huo.

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...