Monday, August 12, 2013

FEZA KESSY NAYE AONDOLEWA BIG BROTHER 'THE CHASE'

Feza Kessy
MTANZANIA pekee aliyekuwa amebaki katika mjengo wa Big Brother 
Africa 'The Chase', Feza Kessy naye ameondolewa katika jumba hilo. 
Feza ametolewa katika shindano hilo akiwa mshiriki wa 20 kuaga shindano 
hilo ikiwa ni wiki chache mwenzake kutoka hapa nchini Ammy Nando 
kutolewa katika mjengo huo.

No comments:

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...