Monday, August 12, 2013

FEZA KESSY NAYE AONDOLEWA BIG BROTHER 'THE CHASE'

Feza Kessy
MTANZANIA pekee aliyekuwa amebaki katika mjengo wa Big Brother 
Africa 'The Chase', Feza Kessy naye ameondolewa katika jumba hilo. 
Feza ametolewa katika shindano hilo akiwa mshiriki wa 20 kuaga shindano 
hilo ikiwa ni wiki chache mwenzake kutoka hapa nchini Ammy Nando 
kutolewa katika mjengo huo.

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...