Monday, August 12, 2013

FEZA KESSY NAYE AONDOLEWA BIG BROTHER 'THE CHASE'

Feza Kessy
MTANZANIA pekee aliyekuwa amebaki katika mjengo wa Big Brother 
Africa 'The Chase', Feza Kessy naye ameondolewa katika jumba hilo. 
Feza ametolewa katika shindano hilo akiwa mshiriki wa 20 kuaga shindano 
hilo ikiwa ni wiki chache mwenzake kutoka hapa nchini Ammy Nando 
kutolewa katika mjengo huo.

No comments:

RAIS SAMlA AFANYA MAZUNGUMZO NA MJUMBE MAALUM WA RAIS TSHISEKEDI

  Dar es Salaam, 26 Machi 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan , amekutana na kufanya mazungu...