Friday, August 30, 2013

NBC yazindua Kitengo cha Huduma Binafsi za Kibenki kwa Wateja Wakubwa


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Mizinga Melu akizungumza
 katika hafla ya uzinduzi waKitengo cha Huduma Binafsi za Kibenki 
kwa Wateja Wakubwa cha NBC jijini Dar es Salaam leo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Mizinga Melu (kushoto)
 akiwatambulisha baadhi ya maofisa katika kitengo hicho katika hafla hiyo.

Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi (katikati) akifurahi 
na Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Mizinga Melu (kushoto) na Mkuu wa Idara
 ya Huduma za Kibenki kwa Wateja Wakubwa na Uwekezaji, Andre Potgieter
 katika hafla ya uzinduzi wa Kitengo cha Huduma Binafsi za Kibenki kwa 
Wateja Wakubwacha benki hiyo jijini Dar es Salaam leo.
Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi (katikati) akishikana
 mikono na Meneja Uhusiano wa NBC, Makyalen Marealle katika hafla ya uzinduzi 
wa Kitengo cha Huduma Binafsi za Kibenki kwa Wateja Wakubwa cha benki 
hiyo jijini Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Kitengo
 hicho, Andrew Massawe na Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Mizinga Melu.
Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Reginald Mengi (katikati) akihojiwa
 na waandishi kutoka vyombo mbalimbali vya habari mara baada ya uzinduzi wa
 kitengo hicho. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Mizinga Melu.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Tanzania, Mizinga Melu (kulia) akimsindikiza 
Mwenyekiti Mtendaji wa IPP, Reginald Mengi mara baada ya uzinduzi wa Kitengo 
cha Huduma Binafsi za Kibenki kwa Wateja Wakubwa cha benki hiyo jijini
 Dar es Salaam leo. Wengine kutoka kushoto ni Mkuu wa Huduma Rejareja 
za Kibenki wa NBC, Mmoloki Legodu na Mkuu wa Kitengo hicho, Andrew Massawe.

No comments: