Friday, August 30, 2013

AIRTEL YATOSHA ; NYUMBA YA PILI ZIMEBAKI SIKU 5 TU!!!‏

Nyumba ya kisasa ya Airtel Yatosha inayoshindaniwa.

Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akiongea na wanahabari.…

Nyumba ya kisasa ya Airtel Yatosha inayoshindaniwa.

Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando akiongea na wanahabari.

...Akionyesha funguo za nyumba inayoshindaniwa.

· DROO KUCHEZWA TAREHE 5/09/2013 AIRTEL MAKAO 
MAKUU DSM
Airtel Yatosha inazidi kupamba moto. Zimebaki siku CHACHE SANA
 kwa wewe MTEJA wa Airtel kuibuka mshindi wa Nyumba ya kisasa 
ya Airtel Yatosha iliyojengwa na Shirika la nyumba la taifa (NHC) iliyopo 
maeneo ya kigamboni jijini Dar es saalam.

Meneja Uhusiano wa Airtel, Jackson Mmbando amesema “Siku ya 
Alhamisi tarehe 5 mwezi wa 9 ndio siku inayosubiriwa kwa hamu; 
ambapo tutapata mshindi wa nyumba ya pili ya promosheni ya Airtel 
Yatosha”
Wewe mteja wa Airtel Yatosha bado una nafasi ya kuibuka mshindi! Ni 
rahisi. Piga *149*99# sasa na ujiunge na kifurushi chochote cha SIKU, 
WIKI AU MWEZI cha Airtel Yatosha na moja kwa moja utaingia kwenye
 droo ya kushinda. Kumbuka, pia kuna Tsh milioni 1 kushindaniwa kila siku. 
Usilaze damu! Jiunge zaidi na Airtel Yatosha, uongeze nafasi zako za kushinda! 
Alidokeza bw, Mmbando.

No comments: