Friday, August 16, 2013

MOTO KUWAKA REDD'S MISS ILALA LEO

Mratibu wa Shindano la Redds Miss Tanzania Kanda ya Ilala 2013, Juma Mabakila (katikati waliokaa), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, wakati akitangaza zawadi watakazopewa washindi wa shindano hilo litakalofanyika leo kwenyeUkumbi wa Golden Jubilee Dar es Salaam. Kutoka kushoto waliokaa ni Mkufunzi wa warembo hao Hafsa na William Malecela.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...