Wednesday, August 28, 2013

BONDIA WA MAREKANI PHIL WILLIAMS ATUA NCHINI KUMKABILI CHEKA IJUMAA HII


Bondia Phil Williams wa marekani akiwa katika picha ya pamoja
 na wadau wa mchezo huo kushoto ni promota Jay Msangi kulia 
ni Kocha wa kimataifa wa mchezo wa ngumi Rajabu Mhamila 
'Super D wengine ni wadau waliokuja kulaki uwanja wa ndege
 baada ya kutua.



Bondia Phil Williams wa marekani akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa WBU
Bondia Phil Williams wa Marekani. Picha zote na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments:

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...