Wednesday, August 28, 2013

BONDIA WA MAREKANI PHIL WILLIAMS ATUA NCHINI KUMKABILI CHEKA IJUMAA HII


Bondia Phil Williams wa marekani akiwa katika picha ya pamoja
 na wadau wa mchezo huo kushoto ni promota Jay Msangi kulia 
ni Kocha wa kimataifa wa mchezo wa ngumi Rajabu Mhamila 
'Super D wengine ni wadau waliokuja kulaki uwanja wa ndege
 baada ya kutua.



Bondia Phil Williams wa marekani akiwa na mkanda wake wa ubingwa wa WBU
Bondia Phil Williams wa Marekani. Picha zote na www.superdboxingcoach.blogspot.com

No comments: