Sunday, March 28, 2010

Sir George enzi hizo


SIR George akiwa na Rais wa kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Julius Kambarage Nyerere katika moja ya vikao vyao mara baada ya taifa kupata uhuru, kushoto kwa mwalimu ni Rashid Mfaume Kawawa aliyekuwa Waziri Mkuu na Makamu wa kwanza wa Rais wa wakati huo na anayefuata ni Paul Bomani aliyekuwa Waziri katikaserikali ya awamu ya kwanza, wote watatu sasa ni Marehemu isipokuwa Sir George. Maktaba.

1 comment:

Anonymous said...

namuona mchonga akiwa na fegi mkononi.

🔴🔴TABORA ZOO YAENDELEA KUNG'ARA KAMA KITOVU CHA ELIMU, BURUDANI NA UTALII WA NDANI

Na Mwandishi wetu, Tabora. Bustani ya Wanyamapori Tabora (Tabora Zoo) imeendelea kujipambanua kama kivutio muhimu cha elimu na burudani jiji...