Monday, March 22, 2010

Chadema wafanya kufuru Dom


Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) mkoa wa Kagera, Wilfred Rwakatare, akihutubia katika mkutano wa Oparesheni Sangara, katika Uwanja wa Sabasaba mjini Kondoa mkaoni Dodoma juzi. (Mpiga Picha Wetu)

009441;
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, akihutubia katika mkutano wa Oporesheni Sangara katika Uwanja wa Sabasaba mjini Kondoa juzi. (Na Mpiga Picha Wetu)

1 comment:

Anonymous said...

mbona inaonekana kama wanao wahutubia wengi wao ni watoto?

CHEREKO ZATAWALA BANDA LA REA KATIKA MAONESHO YA TEKNOLOJIA YA MADINI GEITA

Furaha na shangwe (chereko) zimetawala katika Banda la Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wakati wananchi walipofurika kununua majiko ya gesi ...