Sunday, January 24, 2010

President Kikwete visit U.S. Navy ships

President Jakaya Kikwete onboard USS Nicholas with Commodore Mark Kesselring, accompanied by U.S. Ambassador Alfonso Lenhardt (background, left). President Kikwete visited the ships USS Nicholas and US Navy's high speed vessel Swift on January 23, 2010. The two U.S. Navy ships are in Tanzania to participate in maritime and cultural exchanges
with the Tanzanian Navy. The vessels are visiting ports in Djibouti, Kenya, Tanzania, Mozambique, Mauritius, Seychelles and Comoros to enhance maritime safety and security in the region. (Photo Courtesy of the U.S. Embassy)



Kamanda anayeingoza meli ya kivita ya jeshi la Marekani Mark Kesselring akimuongoza Rais Jakaya Mrisho Kikwete kukagua meli hiyo USS Nicholas wakati Rais Kikwete alipoitembelea meli hiyo na kuzungumza na maofisa wa kijeshi wailomo katika meli hiyo leo jioni katika bandari ya Dar es Salaam.

1 comment:

Anonymous said...

Mambo na nyakati! Wakati ule sijui kama meli hii ingetia nanga Dar na Mwalimu kwenda kuitembelea?

WAZIRI MKUU MHE. KASSIM MAJALIWA AMALIZA ZIARA YA SIKU MOJA MKOANI MBEYA

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa (Mb), leo ameondoka Mkoani Mbeya baada ya kukamilisha zi...