Tuesday, March 04, 2008

Kampeni Ya Kutangaza Vivutio Vya Tanzania yazinduliwa Uingereza


Pichani ni baadhi ya Watanzania waliohudhuria sherehe za uzinduzi wa mwanzo kabisa wa kuvitangaza vivutio vya Tanzania katika Mabasi Ya London,Uingereza katika sherehe zilizofanyika katika ubalozi wa Tanzania mjini London Leo,Pichani baadhi ya wadau walioshiriki kwenye uznduzi huo na nyuma yao ni moja kati ya mabasi hayo likiwa limebandikwa Matangazo Hayo.

1 comment:

Deacon Pat said...

great photos.....

MAKAMU WA RAIS MHE. DKT. PHILIP MPANGO AONGOZA KIKAO CHA 15 CHA KAMATI YA PAMOJA YA MASUALA YA MUUNGANO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, ameongoza Kikao cha 15 cha Kamati ya Pamoja kati ya Serikali ya ...