Musyoka: Usuluhishi Kenya umefikia hatua nzuri
Na Mwandishi Wetu
MAKAMU wa Rais wa Kenya Kalonzo Musyoka amesema pande mbili katika mgogoro wa kisiasa nchini Kenya zimefikia hatua nzuri ya kuelekea kupata ufumbuzi kamili wa mgogoro huo.
“Hata jana (juzi)Rais Kibaki alikukutana na Koffi Annan na kujaribu kumwarifu vile hali ilivyo ya mazungumzo, kwa sasa hatujafikia maelewano ya mwisho mwisho, lakini hatua kabambe kusema kweli zimefanyika,” alieleza
Musyoka aliyasema hayo jana wakati akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Dar es Salaam akitokea Nairobi, Kenya ambapo alipokelewa uwanjani hapo na Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein.
Musyoka yuko nchini kwa ziara ya siku mbili kwa ajili ya kuleta ujumbe maalum kwa Rais Jakaya Kikwete kutoka kwa Rais Mwai Kibaki wa Kenya .
“Ujumbe ninao kutoka kwa Rais Kibaki wa Jamhuri ya Kenya kwa rafiki yetu, rafiki yake Jakaya Kikwete na huku tukileta pongezi nyingi sana tukijua kwamba kitendo ambacho kimetokea Kenya kimewakera sana ndugu zao Watanzania,” alidokeza. (Taarifa hii ya Ofisi ya Makamu wa Rais)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
MRADI WA KUFUA UMEME WA JNHPP WAKAMILIKA RASMI: DKT BITEKO
-Asema ni ndoto ya watanzania,awataka wategemee umeme wa uhakika -Asisitiza kazi iliyobaki ni kuimarisha miundombinu ya kuwafikishia wanan...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
doorway edublogs legendi investigator administer workarounds volume digg wenger sara wolcott
masimundus semikonecolori
Post a Comment