
Kufuatia kuahirisha ziara hiyo Mheshimiwa Rais Dkt.Magufuli amemtuma Makamu wa Rais Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kumuwakilisha katika sherehe hizo za kuapishwa kwa Rais Mteule wa Sita wa Jamhuri ya Zambia Mhe.Edgar Chagwa Lungu
Rais Mteule wa Sita wa Jamhuri ya Zambia Mhe. Edgar Chagwa Lungu zinatarajiwa kufanyika keshokutwa tarehe 13 Septemba, 2016 katika Jiji la Lusaka.
Jaffar Haniu
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi
Dar Es Salaam
11 Septemba, 2016
No comments:
Post a Comment