Tuesday, September 06, 2016

RAIS JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA HOSTELI ZA WANAFUNZI CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM ASUBUHI HII

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dkt John Pombe Magufuli akizungumza mara baada ya kukakagua ujenzi wa hosteli za wanafunzi chuo kikuu cha dar es salaam asubuhi hii,Rais Magufuli aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam,Mh,Paul Makonda pamoja na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Prof.Joyce Ndalichako .


 Mkuu wa Mkoa Mh.Paul Makonda akizungumza jambo wakati Rais Dkt Magufuli alipokwenda kukagua ujenzi wa hosteli za wanafunzi chuo kikuu cha dar es salaam asubuhi hii,Rais Magufuli aliambatana na Mkuu wa Mkoa wa Dar Es Salaam,Mh,Paul Makonda pamoja na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi Prof.Joyce Ndalichako . SOURCE MICHUZI TV.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...