Friday, September 23, 2016

JK ATUNUKIWA TUZO YA UONGOZI WA KISIASA NA UTETEZI

 Rais  Mstaafu dKT. Jakaya Mrisho Kikwete  akipokea Tuzo ya  Uongozi wa Kisiasa na  Utetezi kutoka kwa  Mkurugenzi Mtendaji wa  Speak Up Afrika  Bi Kate  Campana,  katika hafla iliyofanyika siku ya Alhamis  New York Marekani. Tuzo hiyo  ni kutambua jitihada na juhudi zake za kufikisha huduma za jamii hususani  afya kwa   kwa wanawake na watoto.
 .Rais Mstaafu  Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete  baada ya  kupokea Tuzo yake akirejea kwenye kiti chake

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza  baada ya kukabidhiwa Tuzo yake  na katika shukrani zake za kukubali   Tuzo hiyo, amesema Tuzo hiyo ni kwa watoto wote wa Afrika ambao ndio  wamemwezesha yeye kupata Tuzo .

No comments: