Monday, April 20, 2015

MAMIA WAHUDHURIA MKUTANO WA ACT-WAZALENDO MKOANI MWANZA


Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwahutubia wakazi wa mji wa Mwanza kwenye viwanja vya Furahisha jijini humo. (Picha na Said Powa)
 Umati wa watu ukiwa katika mkutano wa ACT-Wazalendo.

1 comment:

Unknown said...

kaka zitto umetisha mwanza maana watu wengi kama viroboto!

Makamu wa Rais wa Tanzania Afika Addis Ababa Kuhudhuria Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Afrika Kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi

Addis Ababa, Ethiopia – 07 Septemba 2025 – Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango , amewasili leo mjini Addi...