Wednesday, July 02, 2014

PSPF WAENDELEA KUPETA MAONYESHO YA SABASABA

 
Wanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, hupata fursa ya kujionea na kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo kujua fursa ya kujipatia mikopo ya nyumba kama huyu (Kushoto), aliyetembelea banda la PSPF lililoko kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu Nyerere, jijini 
 Afisa wa PSPF, (Kushoto), akimpatia maelzo ya kina mwanachama huyu aliyefika kwenye banda hilo
 Mwanachama wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, (Kushoto), akiuliza maswali huku Afisa Masoko wa Mfuko huo, Bi. Rahma, akimsikiliza kwa makini, wakati alipotembelea banda la PSPF, lililo kwenye maonyesho ya 38 ya biashara ya kimataifa ya Dar es Salaam, viwanja vya Mwalimu Nyerere, jijini
 Mfuko wa Pensheni wa PSPF, hutoa huduma kwa wanachama wake kwa njia mbalimbali ikiwemo ile ya "Kiosk", ambapo bila shaka Mwanachama huyu (Kulia), alihitaji kujua utendaji kazi wake, na hapa anapatiwa maelezo ya klutosha
Afisa nmwandamizi anayeshughulikia mifumo ya taarifa na elektroniki wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Mariam Saleh (Kulia), akijadiliana jambo na maafisa wengine wa Mfuko huo juu ya namna bora ya kutoa huduma kwa wanachama na wananchi wanaotembelea banda la PSPF kwenye viwanja vya Mwalimu Nyerere maarufu kama Sabasaba

No comments:

RAIS SAMIA AWASILI MSUMBIJI KWA SHEREHE ZA MIAKA 50 YA UHURU

MAPUTO – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amewasili jijini Maputo, Msumbiji leo tarehe 24 Juni 2025, ...