Jopo la Wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri (TEF) wakibadilishana mawazo muda mfupi baada ya kuwasili kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda uliopo eneo la NHC Mtanda Lindi, Wahariri hao walifanya ziara ya kujionea utekelezaji wa mradi huo ambao unajenga sambamba na mingine 15 nchini na kupata taarifa fupi ya utekelezaji wake, wapo mkoani Mtwara katika mkutano wao wa kawaida kutafakari masuala mbalimbali katika sekta ya habari.
Jopo la Wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri (TEF) wakitembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda uliopo eneo la NHC Mtanda Lindi, Wahariri hao walifanya ziara ya kujionea utekelezaji wa mradi huo ambao unajenga sambamba na mingine 15 nchini na kupata taarifa fupi ya utekelezaji wake, wapo mkoani Mtwara katika mkutano wao wa kawaida kutafakari masuala mbalimbali katika sekta ya habari.
Nyumba za mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda Lindi zinavyoonekana.
Meneja wa mkoa wa Lindi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mussa Patrick Kamendu akitoa taarifa fupi ya utekelezaji wa mradi huo jana mbele ya Wahariri.
Wahariri wakiwasili kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda uliopo eneo la NHC Mtanda Lindi, Wahariri hao walifanya ziara ya kujionea utekelezaji wa mradi huo ambao unajenga sambamba na mingine 15 nchini na kupata taarifa fupi ya utekelezaji wake, wapo mkoani Mtwara katika mkutano wao wa kawaida kutafakari masuala mbalimbali katika sekta ya habari.
Wahariri wakifuatilia maelezo ya Meneja wa mkoa wa Lindi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mussa Patrick Kamendu (hayupo pichani) wakati Meneja huyo akitoa taarifa fupi ya utekelezaji wa mradi huo jana mbele ya Wahariri.
Nyumba za mradi wa gharama nafuu wa Mtanda Lindi zinavyoonekana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AKITUNUKIWA NISHANI YA HESHIMA YA JUU YA BARAZA LA MICHEZO YA MAJESHI DUNIANI (THE GRAND CORDON)
Dar es Salaam, 14 Agosti 2025 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Nish...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
No comments:
Post a Comment