Jopo la Wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri (TEF) wakibadilishana mawazo muda mfupi baada ya kuwasili kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda uliopo eneo la NHC Mtanda Lindi, Wahariri hao walifanya ziara ya kujionea utekelezaji wa mradi huo ambao unajenga sambamba na mingine 15 nchini na kupata taarifa fupi ya utekelezaji wake, wapo mkoani Mtwara katika mkutano wao wa kawaida kutafakari masuala mbalimbali katika sekta ya habari.
Jopo la Wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri (TEF) wakitembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda uliopo eneo la NHC Mtanda Lindi, Wahariri hao walifanya ziara ya kujionea utekelezaji wa mradi huo ambao unajenga sambamba na mingine 15 nchini na kupata taarifa fupi ya utekelezaji wake, wapo mkoani Mtwara katika mkutano wao wa kawaida kutafakari masuala mbalimbali katika sekta ya habari.
Nyumba za mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda Lindi zinavyoonekana.
Meneja wa mkoa wa Lindi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mussa Patrick Kamendu akitoa taarifa fupi ya utekelezaji wa mradi huo jana mbele ya Wahariri.
Wahariri wakiwasili kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda uliopo eneo la NHC Mtanda Lindi, Wahariri hao walifanya ziara ya kujionea utekelezaji wa mradi huo ambao unajenga sambamba na mingine 15 nchini na kupata taarifa fupi ya utekelezaji wake, wapo mkoani Mtwara katika mkutano wao wa kawaida kutafakari masuala mbalimbali katika sekta ya habari.
Wahariri wakifuatilia maelezo ya Meneja wa mkoa wa Lindi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mussa Patrick Kamendu (hayupo pichani) wakati Meneja huyo akitoa taarifa fupi ya utekelezaji wa mradi huo jana mbele ya Wahariri.
Nyumba za mradi wa gharama nafuu wa Mtanda Lindi zinavyoonekana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027
Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...
-
Hapa mmoja wa watoto hao akiwa na kijana mwenzake mwenye miaka 18, wote wako sawa lakini yeye hawezi kuzungumza kama watu wa kawaida. Mama S...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Pascal Mayalla akiwa katika chumba cha wagonjwa Daraja la kwanza katika hospitali ya mkoa wa Dodoma ambako amelazwa kwa matibabu baada ya ku...
No comments:
Post a Comment