Friday, July 11, 2014

Jopo la Wahariri latembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu wa NHC Mtanda, Lindi

Jopo la Wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri (TEF) wakibadilishana mawazo muda mfupi baada ya kuwasili kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda uliopo eneo la NHC Mtanda Lindi, Wahariri hao walifanya ziara ya kujionea utekelezaji wa mradi huo ambao unajenga sambamba na mingine 15 nchini na kupata taarifa fupi ya utekelezaji wake, wapo mkoani Mtwara katika mkutano wao wa kawaida kutafakari masuala mbalimbali katika sekta ya habari.  
Jopo la Wahariri kutoka Jukwaa la Wahariri (TEF) wakitembelea mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda uliopo eneo la NHC Mtanda Lindi, Wahariri hao walifanya ziara ya kujionea utekelezaji wa mradi huo ambao unajenga sambamba na mingine 15 nchini na kupata taarifa fupi ya utekelezaji wake, wapo mkoani Mtwara katika mkutano wao wa kawaida kutafakari masuala mbalimbali katika sekta ya habari.  
 Nyumba za mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda Lindi zinavyoonekana.
 Meneja wa mkoa wa Lindi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mussa Patrick Kamendu akitoa taarifa fupi ya utekelezaji wa mradi huo jana mbele ya Wahariri.
Wahariri wakiwasili kwenye mradi wa nyumba za gharama nafuu wa Mtanda uliopo eneo la NHC Mtanda Lindi, Wahariri hao walifanya ziara ya kujionea utekelezaji wa mradi huo ambao unajenga sambamba na mingine 15 nchini na kupata taarifa fupi ya utekelezaji wake, wapo mkoani Mtwara katika mkutano wao wa kawaida kutafakari masuala mbalimbali katika sekta ya habari.  

Wahariri wakifuatilia maelezo ya Meneja wa mkoa wa Lindi wa Shirika la Nyumba la Taifa, Mussa Patrick Kamendu (hayupo pichani) wakati Meneja huyo akitoa taarifa fupi ya utekelezaji wa mradi huo jana mbele ya Wahariri.
Nyumba za mradi wa gharama nafuu wa Mtanda Lindi zinavyoonekana.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AKUTANA NA UJUMBE WA JUKWAA LA MABUNGE LA NCHI ZA MAZIWA MAKUU (FP-ICGLR) IKULU NDOGO TUNGUU, ZANZIBAR

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye picha ya pamoja na Kiongozi wa Jukwaa la Mabunge la...