Friday, July 11, 2014

MARY NAGU MGENI RASMI KONGAMANO LA NNE LA KITAIFA LA MAKATIBU MUHTASI TANZANIA LEO JIJINI MWANZA

 Pichani kushoto ni Waziri wa Uweshaji na Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh.Mary Nagu ambaye ndiye mgeni rasmi wa Kongamano la nne laKitaifa la Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA),akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Mshauri wa Masuala ya Kisheria wa TAPSEA wakati alipokuwa akiwasili kwenye ufukwe wa hotel ya Malaika,ambako Kongamano hilo linafanyika leo jijini Mwanza.
Pichani kushoto ni Waziri wa Uweshaji na Uwekezaji Ofisi ya Waziri Mkuu,Mh.Mary Nagu akizungumza jambo na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria ambaye pia ni Mshauri wa Masuala ya Kisheria wa TAPSEA wakati alipokuwa akiwasili kwenye ufukwe wa hotel ya Malaika,ambako Kongamano hilo linafanyika leo jijini Mwanza,pichani kati Mwenyekiti wa Makatibu Muhtasi Tanzania (TAPSEA),Bi.Pilly Mpenda wakiwa wamezungukwa na washirki wengine mbalimbali wakiwasili kwenye ufukwe wa hotel ya Malaika,ambako Kongamano hilo linafanyika leo jijini Mwanza. 
Ngoma ya asili ya wasukuma ikipigwa kuwakaribisha washiriki mbalimbali waliokuwa wakiendelea kuwasiliasubuhi hii kwenye kongamanno hilo jijini Mwanza
Washiriki mbalimbali wakiendelea kujiandikisha kwa ajili ya ushiriki wa kongamano hilo
Mazungumzo ya utaratibu wa washiriki wa Kongamano hilo ukiendelea kuwekwa sawa na waandaaji .
Waandaji wa Kongamano hilo wakiendelea kujadiliana jambo
Washiriki wa kongamano hilo wakiwa katika picha ya pamoja
Washirii wa kongamano hilo wakijadiliana jambo kabla ya kuanza kwa mkutano huo.
Washiriki wa Kongamano hilo wakitabasamu mbele ya Camera ya Globu ya Jamiii
Wadau wa TAPSEA wakiwa katika picha ya pamoja
Washiriki wakendelea kuwasili kwenye ufukwe wa hotel ya Malaika,ambako Kongamano hilo linafanyika leo jijini Mwanza.PICHA NA MICHUZI MEDIA GROUP-MWANZA

No comments: