Thursday, July 31, 2014

SIASA PEMBENI WABUNGE WA CCM NA CHADEMA KITU KIMOJA DC

IMG_8501
Kushoto NI Naibu waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania Mh. Stephen Samuel Masselle akiwa na mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari baada ya mkutano wa viongozi vijana barani Afrika katika hoteli ya Omnishoreham Washington Dc Jumanne July 29,2014.

No comments:

UTEKELEZAJI WA DIRA 2050 UANZE - DKT. MWIGULU

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba ameagiza kuanza utekelezaji wa Dira 2050 kupitia Mpango na Bajeti iliyoandaliwa na kuendelea kuishirikisha ...