Thursday, July 31, 2014

SIASA PEMBENI WABUNGE WA CCM NA CHADEMA KITU KIMOJA DC

IMG_8501
Kushoto NI Naibu waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania Mh. Stephen Samuel Masselle akiwa na mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari baada ya mkutano wa viongozi vijana barani Afrika katika hoteli ya Omnishoreham Washington Dc Jumanne July 29,2014.

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO LA KISASA KARIAKOO LILILOGHARIMU BILIONI 28, SASA BIASHARA SAA 24

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Sok...