Thursday, July 31, 2014

SIASA PEMBENI WABUNGE WA CCM NA CHADEMA KITU KIMOJA DC

IMG_8501
Kushoto NI Naibu waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania Mh. Stephen Samuel Masselle akiwa na mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari baada ya mkutano wa viongozi vijana barani Afrika katika hoteli ya Omnishoreham Washington Dc Jumanne July 29,2014.

No comments:

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...