Thursday, July 31, 2014

SIASA PEMBENI WABUNGE WA CCM NA CHADEMA KITU KIMOJA DC

IMG_8501
Kushoto NI Naibu waziri wa Nishati na Madini wa Tanzania Mh. Stephen Samuel Masselle akiwa na mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassari baada ya mkutano wa viongozi vijana barani Afrika katika hoteli ya Omnishoreham Washington Dc Jumanne July 29,2014.

No comments:

*WAZIRI MKUU ATOA MAAGIZO WIZARA YA MADINI

_⬛Aitaka ifuatilie kampuni zilizoshika maeneo bila kuyaendeleza_ _⬛Aipongeza kampuni ya Huaer International kwa uwekezaji._ _⬛Asisitiza uwek...