Thursday, July 24, 2014

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), John Heche Akutana na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam Kuhusu Kuanza kwa Uchaguzi wa Nafasi za Uongozi wa Ngazi ya Majimbo,Wilaya,Mikoa na Ngazi ya Taifa


Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), John Heche akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kuanza kwa uchaguzi wa nafasi za uongozi wa ngazi ya majimbo, wilaya, mikoa na ngazi ya taifa. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu-Bavicha, Ester Daffi na Katibu Mkuu wa Bavicha, Deogratias Munishi.
Naibu Katibu Mkuu-Bavicha, Ester Daffi akizungumza na waandiushi wa habari. Picha na Francis Dande

No comments:

RAIS SAMIA AFUNGUA SOKO LA KISASA KARIAKOO LILILOGHARIMU BILIONI 28, SASA BIASHARA SAA 24

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na viongozi mbalimbali mara baada ya kuwasili katika Sok...