Thursday, July 24, 2014

Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), John Heche Akutana na Waandishi wa Habari Jijini Dar es Salaam Kuhusu Kuanza kwa Uchaguzi wa Nafasi za Uongozi wa Ngazi ya Majimbo,Wilaya,Mikoa na Ngazi ya Taifa


Mwenyekiti wa Baraza la Vijana la Chadema (Bavicha), John Heche akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu kuanza kwa uchaguzi wa nafasi za uongozi wa ngazi ya majimbo, wilaya, mikoa na ngazi ya taifa. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu-Bavicha, Ester Daffi na Katibu Mkuu wa Bavicha, Deogratias Munishi.
Naibu Katibu Mkuu-Bavicha, Ester Daffi akizungumza na waandiushi wa habari. Picha na Francis Dande

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...