Thursday, July 24, 2014

Mabehewa Mapya 25 Ya Kuimarisha Reli ya Kati Yawasili Nchini Kutoka Nchini India Nakupokelewa na Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe

Moja ya mabehewa ya kubebea kokoto zitakazotumika kwa ajili ya kuimarisha reli ya Kati ikishushwa kutoka katika meli ilipowasili katika Bandari ya Dar es Salaam kutoka India. Jumla ya mabehewa 25 tayari yamewasili ambapo thamani yake ni zaidi ya bilioni 4.
Ephraim Joel akirekebisha behewa.
 Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe akizungumza na waandishi wa habari juu ya kuwasili kwa mabehewa 25 ya kuimarisha reli.Picha na Mika Ndaba

No comments:

WIZARA YA AFYA YAOMBA SH. TRILIONI 1.8 BAJETI YA 2026/2027

  Wizara ya Afya imeomba kuidhinishiwa jumla ya Shilingi trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027 kwa ajili ya kuendelea kuboresha huduma z...