Monday, July 21, 2014

MH.BALOZI MULAMULA AZUNGUMZA NA WAGOMBEA WA DMV NA KAMATI YA UCHAGUZI

IMG_8020
Balozi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Washington Dc na Mexico Liberata Mula mula akiwa kwenye picha ya pamoja na wagombea uongozi DMV, wajumbe wa bodi na wajumbe wa tume ya uchaguzi kwenye ofisi za ubaloi Washington Dc Ijumaa Julai 18,2014.
 IMG_7900
Mh.Balozi akifungua kikao hicho.IMG_7881
Wajumbe wa bodi ya DMV Bw.Ulotu na Mama Kimolo wakifuatilia kikao hicho. 
IMG_7894
Mjumbe wa tume ya uchaguzi Asha Haritz katika kikao hicho. IMG_7896
Mgombea wa nafasi ya rais wa Jumuiya Bw.Liberatus Mwang'ombe akifuatilia mkutano. IMG_7895
Mgombea nafasi ya makamu rais Harriet Shangarai akifuatilia kikao hicho.
 IMG_7891
Rais aliyepo madarakani na anayetetea nafasi yake Bw.Iddy Sandali akifuatilia mkutano huo. IMG_7886
Wagombea wa nafasi ya katibu Bw. Mwilima kushoto na Bw.Mwamende. 
IMG_7888

Mgombea wa nafasi ya kaimu katibu Bi.Bernadetta Kaiza akiwa na katibu wa tume ya uchaguzi Bi.Asha Nyang'anyi. IMG_7985
Anti Asha kushoto akmuendorse mgombea wa nafasi ya makamu rais Bi.Salma huku wakipata futari. IMG_7904
Bw.Eliudi Mbowe kushoto akipata futari baada ya kikao na mgombea wa nafasi ya kaimu katibu Bw.Solomon Cris.Kwa piocha zaidi ungana na Sundayshomari.com

No comments: