Tuesday, July 15, 2014

Ona Jinsi Rais Jakaya Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete Walivyokatiza Mtaani Kwa Mguu na Kununu Ng'onda


RAIS Jakaya Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete, wakinunua samaki katika kibanda, katika Kijiji cha Bweni, Wilaya ya Pangani, mkoani Tanga, baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa maabara Shuke ya Sekondari Kipumbwi. Picha na Freddy Maro-IKULU

No comments: