Friday, July 25, 2014

UJUMUIKE PAMOJA LEO KUCHEZA WIMBO MPYA WA SKYLIGHT BAND “PASUA TWENDE” KIOTA CHA MARAHA THAI VILLAGE JIJINI DAR

DSC_0078
Mary Lucos akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band (hawapo pichani) huku akipewa sapoti na Hashim Donode sambamba na Digna Mbepera Ijumaa iliypoita kwenye viunga vya Thai Village Masaki jijini Dar.
DSC_0099
Vijana wa Skylight Band wakijimwaga na sebene, kutoka kushoto ni Joniko Flower, Sony Masamba na Sam Mapenzi.
DSC_0102
Sio kwamba wanaanguka la hasha ni mbewembwe za Majembe ya Skylight Band katika kutoa burudani kwa mashabiki wao.
DSC_0118
Mdau aliguswa na uchezaji wa wanamuziki wa Skylight Band na kuchomoa bulungutu la mapesa na kuwatunza wote watatu kama inavyoonekana pichani.
DSC_0126
Jukwaa likiwa limetapakaa manoti ya tanotano na wekundu wa msimbazi.
DSC_0175
Aneth Kushaba AK 47 a.k.a Komando Kipensi akishambulia jukwaa huku Digna Mbepera akitoa sapoti ya Back Vocal.
DSC_0181
I’m not worried ’bout a thing…Cause I know You are guiding me…Where You lead me, lord, I will go..I have no fear cause I know who’s in control….Swagga za Aneth Kushaba AK47 njoo leo tuburudike na kuimba pamoja.
DSC_0170
Mashabiki wakijiachia na burudani ya nguvu kutoka kwa vijana wa Skylight Band ni kila Ijumaa kuanzia saa tatu kamili ndani ya kiota cha maraha cha Thai Village.
DSC_0144
Sam Mapenzi akipewa tano na wanafunzi wa CBE waliofika kwenye viwanja ya Thai Village kupunguza stress za mitihani yaliyomaliza hivi karibuni.
DSC_0159
DSC_0187
Hapo sasa twende kazi kwa raha zetu.
DSC_0212
Joniko Flower akiongoza kikosi cha Skylight Band kushambulia jukwaa.
DSC_0256
DSC_0224
Rais wa WANAMANYOYA Justine Ndege akimwaga manoti kwa vijana wake kama motisha kwa kazi nzuri wanayoifanya.
DSC_0228
Mguu wa kus

No comments: