Wednesday, July 02, 2014

MMILIKI WA MICHUZI BLOG, MUHIDIN ISSA MICHUZI AFURAHISHWA NA HUDUMA ZINAZOTOLEWA NA MFUKO WA PPF KATIKA MAONYESHO YA SABASABA

Afisa Kanda Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Monica Mbogoni akimuhudumia mmiliki wa Mtandao wa Michuzi Blog, Ndg Muhidin Issa Michuzi wakati alipotembelea banda la PPF katika maonyesho ya Sabasaba. 
Afisa Kanda Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Monica Mbogoni akimuhudumia mmiliki wa Mtandao wa Michuzi Blog, Ndg Muhidin Issa Michuzi wakati alipotembelea banda la PPF katika maonyesho ya Sabasaba. 
Afisa Kanda Uendeshaji wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Monica Mbogoni akimkabidhi taarifa ya michango mmiliki wa Mtandao wa Michuzi Blog, Muhidin Issa Michuzi wakati alipotembelea banda la PPF kwenye maonyesho ya  38 ya Sabasaba. Pembeni wanaoshuhudia ni wafanyakazi wa mfuko wa Pensheni wa PPF.
 Meneja Uhusiano na Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PPF, Bi Lulu Mengele (Kulia) akimkabidhi zawadi Mmiliki wa Mtandao wa Michuzi, Ndg Muhidin Issa Michuzi wakati alipotembelea banda la PPF katika Viwanja vya maonyesho ya 38 ya biashara yanayoendelea kufanyika Jijini Dar Es Salaam.Picha Zote na Josephat Lukaza- Lukaza Blog

No comments:

Oryx Gas Waja na Promosheni Maalum ya Mfungo

  NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM KATIKA kuendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia, Kampuni ya Oryx Gas imezindua kampeni...