Thursday, June 02, 2016

KATIBU WA CHAMA CHA KIKOMUNISTI CHA CHINA JIMBO LA JIANGSU AFANYA ZIARA YA SIKU MBILI ZANZIBAR


KATIBU wa Chama cha Kikomunisti cha China katika Jimbo la Jiangsu Luo Zhijun, akivishwa shada la mauwa mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
chi2WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Issa Ussi Gavu, akisalimiana na Katibu wa Chama cha Kikomunisti cha China katika Jimbo la Jiangsu Luo Zhijun wakati mgeni huyo alipowasili katika uwanja wa ndege mjini Zanzibar.
chi3Katibu wa Chama cha Kikomunisti cha China (aliyevaa shati jeupe) Luo Zhijun, akiwa na mwenyeji wake Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Issa Ussi Gavu (wa kwanza kushoto).
chi4WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Issa Ussi Gavu, akizungumza na Katibu wa Chama cha Kikomunisti cha China Jiangsu Luo Zhijun katika ukumbi wa watu mashuhuri (VIP) uwanja wa ndege wa kimataifa wa Abeid Abeid Karume Zanzibar. Picha na Makame Mshenga Maelezo Zanzibar.

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...