Tuesday, February 02, 2016

WAZIRI WA MAMBO YA NJE AUGUSTINE MAHIGA ALA KIAPO CHA UBUNGE LEO

MAHIGA 2Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki na Kikanda, Augustono Mahiga akiapa  Bungeni mjini Dodoma Februari 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAHIGA1
Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson akimwapisha  Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki na Kikanda, Augustono Mahiga , Bungeni mjini Dodoma Februari 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

WAZIRI MKUU ALIPONGEZA SOKO LA HISA LA DAR ES SALAAM

_Ni baada ya kuongeza thamani na kufikia shilingi trilioni 21, Julai 2025_ _Pamoja na kuongeza ukuaji wa hisa kwa zaidi ya asilimia 246_ _As...