Tuesday, February 02, 2016

WAZIRI WA MAMBO YA NJE AUGUSTINE MAHIGA ALA KIAPO CHA UBUNGE LEO

MAHIGA 2Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki na Kikanda, Augustono Mahiga akiapa  Bungeni mjini Dodoma Februari 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
MAHIGA1
Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson akimwapisha  Waziri wa Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki na Kikanda, Augustono Mahiga , Bungeni mjini Dodoma Februari 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...