Tuesday, August 30, 2016

MKURUGENZI MKUU AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa niaba ya wafanyakazi wote wa Shirika na kuzungumzia mambo mbalimbali ya maendeleo ya Shirika, masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu wa Shirika la Nyumba la Taifa, James Rhombo akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.

No comments:

RAIS SAMIA AZINDUA HUDUMA YA SARATANI KCMC, AAHIDI USHIRIKIANO KUSOGEZA HUDUMA KARIBU NA WANANCHI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Jengo la Tiba Mionzi (Radiothera...