Tuesday, August 30, 2016

MKURUGENZI MKUU AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa niaba ya wafanyakazi wote wa Shirika na kuzungumzia mambo mbalimbali ya maendeleo ya Shirika, masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu wa Shirika la Nyumba la Taifa, James Rhombo akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.

No comments:

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR AMTEMBELEA MHE. FARIDA AMOUR MOH'D HOSPITALINI, AMTAKIA AFYA NJEMA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla , leo tarehe 21 Mei 2026 amemtembelea na kumjulia hali Mwakilishi wa Viti M...