Tuesday, August 30, 2016

MKURUGENZI MKUU AZUNGUMZA NA WAFANYAKAZI

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam kwa niaba ya wafanyakazi wote wa Shirika na kuzungumzia mambo mbalimbali ya maendeleo ya Shirika, masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu wa Shirika la Nyumba la Taifa, James Rhombo akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam.
Wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Mchechu akizungumza na wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.
 Wafanyakazi wa NHC wa Makao Makuu na Matawi ya Mkoa wa Dar es Salaam wakifuatilia Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu akizungumzia masuala mbalimbali yanayohusu ufanisi wa Shirika, utendaji wa wafanyakazi pamoja na motisha kwa wafanyakazi.

No comments:

MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII ZASISITIZWA KUWEKEZA KWA UMAKINI ILI KULINDA MASLAHI YA WANACHAMA – DKT. MPANGO

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Mpango, amezitaka Mifuko ya Hifadhi ya Jamii Barani Afrika kuhakikisha ...