Waziri, George Simbachawene akiwa na Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi na Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego wakipata maelezo
kutoka kwa Meneja wa Shirika la Nyumba Mkoa wa Lindi, Mussa Patrick Kamendu wakati
wa maonesho ya NaneNane yanayoendelea mkoani Lindi.
Friday, August 05, 2016
WAZIRI SIMBACHAWENE ATEMBELEA BANDA LA NHC MAONESHO YA WAKULIMA (NANE NANE) KITAIFA MKOANI LINDI
Meneja wa NHC Mkoa wa Lindi, Mussa Patrick Kamendu akitoa maelezo ya namna miradi ya NHC inavyoendeshwa kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OR-TAMISEMI), George Simbachawene akiwa na Mkuu
wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendego wanaofuatilia maelezo kutoka kwa meneja huyo wakati wa maonesho ya NaneNane yanayoendelea viwanja
vya Ngongo mkoani Lindi. NHC imeshiriki maonesho hayo ya NaneNane yaliyofunguliwa rasmi na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo yakiwa na kauli mbiu “Kilimo, mifugo na uvuvi ni nguzo ya maendeleo.
Waziri George Simbachawene akiweka saini katika kitabu cha wageni katika banda la NHC wakati alipotembelea banda hilo hapo jana
pembeni yake ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi akifuatilia tukio hilo.
Meneja wa Shirika la Nyumba mkoa wa Lindi, Mussa Kamendu
akimkaribisha Mheshimiwa Waziri George Simbachawene katika maonesho ya Nanenane eneo la Ngongo. NHC imeshiriki maonesho hayo ya NaneNane yaliyofunguliwa rasmi na Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo yakiwa na kauli mbiu “Kilimo, mifugo na uvuvi ni nguzo ya maendeleo.
Waziri Simbachawene alipotembelea banda la NHC wakati wa
maonesho ya NaneNane yanayofanyika eneo la Ngongo mkoani Lindi hapo jana.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
(Picha na Yahya Charahani) Kwa wale waliokulia maeneo haya, hili ni jambo la kawaida ukitoka mjini, shambani sijui hadi wapi kote ni haya h...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
No comments:
Post a Comment