Sunday, August 28, 2016

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AKUTANA NA RAIS UHURU KENYATTA JIJINI NAIROBI


Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta katika Mkutano wa TICAD 6  kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyatta (KICC) jijini Nairobi Agosti 28, 2016.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wakuu wa nchi mbalimbali wanaoshiriki katika Mkutano wa TICAD 6 kwenye Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Kenyeatta (KICC) jijini Nairobi Agosti 28, 2016.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

BILIONI 37.7 ZATIKISA TANGA: TARURA YASUKUMA MAPINDUZI YA BARABARA

MAMLAKA ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) mkoa wa Tanga imepiga hatua kubwa katika utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya baraba...