Wednesday, August 24, 2016

JENGO LA HOSPITALI LENYE THAMANI YA BILIONI 8.8 LAJENGWA JIJINI DAR.


Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul makonda leo ameonyesha picha za jengo kubwa la hospitali ya kinamama ambalo ujenzi wake tayari umeanza kwa msaada kutoka Serikali ya Korea Kusini na linatarajiwa kuzinduliwa na Rais Magufuli mwezi wa nne mwakani. Jengo hilo litakalogharimu jumla ya shilingi bilioni 8 na milioni 800 litakuwa na uwezo kulaza wakinamama (wagonjwa) 160 kwa wakati mmoja na litakuwa na chuo kwaajili ya wanafunzi na tayari Madaktari kutoka Korea wamesha anzaa kutoa mafunzo ya magonjwa ya kinamama.

No comments:

NHC YAKABIDHI MSAADA KWA WATU WENYE ULEMAVU UBUNGO

  Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), kupitia kwa Afisa wake Mkuu wa Habari, Yahya Charahani, limekabidhi msaada wa vifaa vya kusaidia watu we...