Tuesday, August 23, 2016

KIKAO CHA EDWARD LOWASSA CHAZUIWA NA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA


 Kikao cha ndani cha Mh.Edward Lowassa na wanachama wa Chadema wa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kimezuiwa kufanyika na Jeshi la Polisi asubuhi ya leo.
  Kikao cha ndani cha Mh.Edward Lowassa na wanachama wa Chadema wa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kimezuiwa kufanyika na Jeshi la Polisi asubuhi ya leo.

 Baadhi ya Wananchi wakitazama tukio hilo
 Kikao cha ndani cha Mh.Edward Lowassa na wanachama wa Chadema wa wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kimezuiwa kufanyika na Jeshi la Polisi asubuhi ya leo.

No comments:

RAIS SAMIA AZINDUA HUDUMA YA SARATANI KCMC, AAHIDI USHIRIKIANO KUSOGEZA HUDUMA KARIBU NA WANANCHI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Jengo la Tiba Mionzi (Radiothera...