Sunday, May 10, 2015

CHADEMA WAFANYA MKUTANO WAO JIJINI ARUSHA.

Mheshimiwa Tundu Lissu akiwahutubia wakazi wa Arusha Mjini katika mkutano mkubwa ulioambatana na mvua kubwa hapo jana.
Wakazi wa Arusha wakiwa katika mkutano mkubwa ulioambatana na mvua lakini wamesema hawataondoka hata kama mvua ya mawe itanyesha
Makamanda wakiwa wamelowa chapa chapa lakini bila kujali mvua wameweza kufanya mkutano kama kawaida.

No comments:

RAIS DKT. SAMIA AZUNGUMZA NA WANANCHI WA PANGANI, AZINDUA MIRADI YA MAENDELEO MKOANI TANGA

PANGANI, TANGA – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Februari 26, 2025, amezungumza na wananc...