Mheshimiwa Tundu Lissu akiwahutubia wakazi wa Arusha Mjini katika mkutano mkubwa ulioambatana na mvua kubwa hapo jana.
Wakazi wa Arusha wakiwa katika mkutano mkubwa ulioambatana na mvua lakini wamesema hawataondoka hata kama mvua ya mawe itanyesha
Makamanda wakiwa wamelowa chapa chapa lakini bila kujali mvua wameweza kufanya mkutano kama kawaida.
No comments:
Post a Comment