Friday, March 13, 2009
Mkasa wa Raisi mstaafu Mwinyi kupigwa kibao
Haka kajamaa kalikosa akili kabisa na adabu mbele ya wakubwa, hata kama imani imekaingia vipi, lakini kalichokifanya ni kichaaa na utofu wa adabu wa kiwangu kikubwa, taarifa zilizonifikia hivi sasa ni kwamba haka kajamaa kalikomzaba mzee mwinyi kibao kamefungwa jela mwaka mmoja kama fundisho kwake na wengine wenye adabu ndogo kama kenyewe. CLIP HII IMETOLEWA KWA HISANI YA MDAU TANGI BOVU.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA IMEJENGWA KWA MISINGI IMARA YA AMANI NA UZALENDO-MAJALIWA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imejengwa kwa misingi imara ya amani, uzalendo na maadili mema ambayo yameasisiwa na vion...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
yeezy shoes
lebron shoes
michael kors handbags
polo ralph lauren
golden goose
nike air max
michael kors handbags sale
jordan retro
converse outlet
nike air max 270
Post a Comment