Friday, March 13, 2009

Mkasa wa Raisi mstaafu Mwinyi kupigwa kibao


Haka kajamaa kalikosa akili kabisa na adabu mbele ya wakubwa, hata kama imani imekaingia vipi, lakini kalichokifanya ni kichaaa na utofu wa adabu wa kiwangu kikubwa, taarifa zilizonifikia hivi sasa ni kwamba haka kajamaa kalikomzaba mzee mwinyi kibao kamefungwa jela mwaka mmoja kama fundisho kwake na wengine wenye adabu ndogo kama kenyewe. CLIP HII IMETOLEWA KWA HISANI YA MDAU TANGI BOVU.

RAIS SAMIA ASHIRIKI NA KUTUNUKU TUZO ZA WASANII WA KOMEDI TANZANIA 2025

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameshiriki kama mgeni rasmi katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Wasa...