Monday, March 02, 2009

Dk Shein ndani ya Mafia


Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa nyumba za walimu katika shule ya sekondari Bweni iliyoko kisiwani Mafia jana wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo mkoa wa Pwani. Wengine ni Mkuu wa mkoa Dk Christine Ishengoma, Mkuu wa Wilaya Manzie Mangochie na Mbunge wa Mafia Abdulkarim Shah.
Picha na Clarence Nanyaro VPO.

No comments:

Rais Dkt. Samia Awasili Addis Ababa Kushiriki Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa AU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewasili katika Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Bole, Jij...