Monday, March 02, 2009

Dk Shein ndani ya Mafia


Makamu wa Rais Dk Ali Mohamed Shein akiweka jiwe la msingi la ujenzi wa nyumba za walimu katika shule ya sekondari Bweni iliyoko kisiwani Mafia jana wakati wa ziara yake ya kukagua miradi ya maendeleo mkoa wa Pwani. Wengine ni Mkuu wa mkoa Dk Christine Ishengoma, Mkuu wa Wilaya Manzie Mangochie na Mbunge wa Mafia Abdulkarim Shah.
Picha na Clarence Nanyaro VPO.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...