Friday, March 13, 2009

Ziara ya waziri Mkuu




Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dr. Asha Rose-Migiro na Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo wakiwa pamoja wakielekea katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya fedha na uchumi kwaajili ya kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

RAIS SAMIA AGAWA MITUNGI YA GESI NA KUVAA VAZI LA MAMA NA BABA LISHE KUHAMASISHA NISHATI SAFI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendeleza dhamira ya Serikali ya kusukuma mbele ajenda ya nishati ...