Friday, March 13, 2009

Ziara ya waziri Mkuu




Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dr. Asha Rose-Migiro na Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo wakiwa pamoja wakielekea katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya fedha na uchumi kwaajili ya kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

KASI YA UJENZI WA RELI YA SGR IMEONGEZEKA – PROF. MBARAWA

  Wahudumu wa ndani (Train crew) wa shirika la reli Tanzania (TRC) upande wa Standard Gauge Railway (SGR) wamehudhuria Bungeni Jijini Dodoma...