Friday, March 13, 2009

Ziara ya waziri Mkuu




Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Dr. Asha Rose-Migiro na Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo wakiwa pamoja wakielekea katika ukumbi wa mikutano wa wizara ya fedha na uchumi kwaajili ya kuzungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo.

No comments:

RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIHISTORIA URUSI, KUITANGAZA TANZANIA YA DIRA YA MAENDELEO 2050

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa w...