Monday, March 09, 2009

mitindo house





Tanzania Mitindo house pia iliandaa chakula cha mchana katika hafla fupi ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani leo kwenye ukumbi wa utamaduni wa rashia,huku madhumuni makubwa ya hafla hiyo ikiwa ni kuwakutanisha wanawake kutoka sekta mbalimbali na kuzungumza,kupata chakula cha mchana,kucheza na kufurahi pamoja.

1 comment:

nyahbingi worrior. said...

samahani fungua kurasa ya kuchangia mawazo kuhusu jumuiya ya wanablogu tanzania.

http://blogutanzania.blogspot.com/

www.ringojr.wordpress.com

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...