Monday, March 16, 2009

Juma Nature kuzindua


Kiongozi wa TMK Wanaume Juma Nature Halisi akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uzunduzi wa album yao mpya itakayojulikana kama “tuugawane umasikini’jana jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Ferooz Mrisho. Picha na Fidelis Felix

RAIS NDAITWAH AONDOKA BAADA YA KUKAMILISHA ZIARA YA KITAIFA YA SIKU TATU NCHINI

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na mgeni wake Rais wa Jamhuri ya Namibia Mhe. Dkt, Netumbo...