Monday, March 16, 2009

Juma Nature kuzindua


Kiongozi wa TMK Wanaume Juma Nature Halisi akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uzunduzi wa album yao mpya itakayojulikana kama “tuugawane umasikini’jana jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Ferooz Mrisho. Picha na Fidelis Felix

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...