Monday, March 16, 2009

Juma Nature kuzindua


Kiongozi wa TMK Wanaume Juma Nature Halisi akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uzunduzi wa album yao mpya itakayojulikana kama “tuugawane umasikini’jana jijini Dar es Salaam.Kushoto ni Ferooz Mrisho. Picha na Fidelis Felix

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...