Thursday, March 19, 2009

Libeneke Miss Tanzania laanza


Vodacom Miss Tanzania 2008 Nasreen Karim toka Kanda ya Ziwa-Mwanza, ambaye kazi ya kumtafuta mrishi wake imeanza kutimua vumbi akiwa katika pozi.

Meneja wa udhamini na Mawasiliano wa Vodacom George Rwehumbiza (kushoto) na Mkurugenzi wa Miss tanzania hashim Lundenga wakisaini mkataba wa udhamini kwa miaka miwili.

No comments:

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA ARDHI, MALIASILI NA UTALII YAIPONGEZA NHC

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Ardhi, Maliasili na Utalii imeipongeza Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kwa kazi nzuri inayoifanya katika sekt...