Thursday, March 19, 2009

Libeneke Miss Tanzania laanza


Vodacom Miss Tanzania 2008 Nasreen Karim toka Kanda ya Ziwa-Mwanza, ambaye kazi ya kumtafuta mrishi wake imeanza kutimua vumbi akiwa katika pozi.

Meneja wa udhamini na Mawasiliano wa Vodacom George Rwehumbiza (kushoto) na Mkurugenzi wa Miss tanzania hashim Lundenga wakisaini mkataba wa udhamini kwa miaka miwili.

No comments:

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...