Thursday, March 19, 2009

Libeneke Miss Tanzania laanza


Vodacom Miss Tanzania 2008 Nasreen Karim toka Kanda ya Ziwa-Mwanza, ambaye kazi ya kumtafuta mrishi wake imeanza kutimua vumbi akiwa katika pozi.

Meneja wa udhamini na Mawasiliano wa Vodacom George Rwehumbiza (kushoto) na Mkurugenzi wa Miss tanzania hashim Lundenga wakisaini mkataba wa udhamini kwa miaka miwili.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...