Thursday, March 19, 2009

Libeneke Miss Tanzania laanza


Vodacom Miss Tanzania 2008 Nasreen Karim toka Kanda ya Ziwa-Mwanza, ambaye kazi ya kumtafuta mrishi wake imeanza kutimua vumbi akiwa katika pozi.

Meneja wa udhamini na Mawasiliano wa Vodacom George Rwehumbiza (kushoto) na Mkurugenzi wa Miss tanzania hashim Lundenga wakisaini mkataba wa udhamini kwa miaka miwili.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...