Friday, March 13, 2009

katuni ya GAdo


Huyu jamaa wa Uganda anataka kujiingiza kuwa Rais wa Afrika Mashariki, jamani hivi kwa mwendo huu kweli tutafika si atachomeka mpaka house girl wake awe waziri sasa hebu cheki hawa jamaa wa Nation wamechora kafamilia ka huyui mheshimiwa M7 upendeleo kwa familia na marafiki wa kiongozi)wa hali ya juu! Katuni imechorwa na GADO.

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...