Friday, March 13, 2009

katuni ya GAdo


Huyu jamaa wa Uganda anataka kujiingiza kuwa Rais wa Afrika Mashariki, jamani hivi kwa mwendo huu kweli tutafika si atachomeka mpaka house girl wake awe waziri sasa hebu cheki hawa jamaa wa Nation wamechora kafamilia ka huyui mheshimiwa M7 upendeleo kwa familia na marafiki wa kiongozi)wa hali ya juu! Katuni imechorwa na GADO.

No comments:

MMUYA: WANANCHI WANUFAIKE NA UWEKEZAJI WA NHC KUPITIA NYUMBA ZA GHARAMA NAFUU

Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Kaspar Mmuya, amekagua maendeleo ya ujenzi wa mradi wa maghala unaotekelezwa na S...