Friday, March 13, 2009

katuni ya GAdo


Huyu jamaa wa Uganda anataka kujiingiza kuwa Rais wa Afrika Mashariki, jamani hivi kwa mwendo huu kweli tutafika si atachomeka mpaka house girl wake awe waziri sasa hebu cheki hawa jamaa wa Nation wamechora kafamilia ka huyui mheshimiwa M7 upendeleo kwa familia na marafiki wa kiongozi)wa hali ya juu! Katuni imechorwa na GADO.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...