Monday, March 02, 2009

Waziri Membe atimua mbio


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe (kulia) akishiriki mbio za Km 5 za Vodacom katika mashindano ya mbio ya Kimataifa ya Kilimajaro Marathon, mjini Moshi jana. Kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom, Efraem Mafuru, Meneja wa Kampuni ya Bia Tanzania Kanda ya Kaskazini Mashariki, James Bokela, Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera na Mwenyekiti wa Chama cha Wachezaji wa Soka wa zamani, (SIPUTANZA), Venance Mwamoto.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...