Monday, March 30, 2009

GOVERNOR GENERAL wa Australia awasili nchini


GOVERNOR GENERAL wa Australia Mhe. Quentin Bryce akisalimiana na wananchi waliofika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius nyerere alipowasili Nchini leo jioni kwa ajili ya kuanza ziara ya siku tatu ya kiserikali hapa Nchini. Kushoto Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein.

Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mgeni wake GOVERNOR GENERAL wa Australia Mhe. Quentin Bryce alipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere leo kwa ajili ya kuanza ziara ya siku tatu ya kiserikali hapa Nchini. Picha hizi ni za Amour Nassor (VPO)

No comments:

RAIS SAMIA AANZA ZIARA YA KIHISTORIA URUSI, KUITANGAZA TANZANIA YA DIRA YA MAENDELEO 2050

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiagana na viongozi mbalimbali kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa w...