Monday, March 30, 2009

GOVERNOR GENERAL wa Australia awasili nchini


GOVERNOR GENERAL wa Australia Mhe. Quentin Bryce akisalimiana na wananchi waliofika katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius nyerere alipowasili Nchini leo jioni kwa ajili ya kuanza ziara ya siku tatu ya kiserikali hapa Nchini. Kushoto Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein.

Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein, akizungumza na Mgeni wake GOVERNOR GENERAL wa Australia Mhe. Quentin Bryce alipowasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere leo kwa ajili ya kuanza ziara ya siku tatu ya kiserikali hapa Nchini. Picha hizi ni za Amour Nassor (VPO)

No comments:

RAIS SAMIA AGAWA MITUNGI YA GESI NA KUVAA VAZI LA MAMA NA BABA LISHE KUHAMASISHA NISHATI SAFI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendeleza dhamira ya Serikali ya kusukuma mbele ajenda ya nishati ...