Thursday, March 26, 2009

mgawo wa umeme huooooo



HAKIKA hawa jamaa wanataka kutuchezea kupita kiasi eti wameanza mchezo wa kukatakata umeme na hili shirika letu la Umeme Tanzania (Tanesco) wanadai kutakuwa na mgawo wa dharura wa umeme kwa jiji la Dar es Salaam kwa saa nane (8) zenye mahitaji makubwa ya umeme kila siku, kutokana na kile walichosema ni kukosa huduma ya mitambo miwili ya kuzalisha umeme ya kampuni ya Songas. hali hii inajitokeza katikati ya mjadala wa ununuzi wa mitambo ya Dowans na huku ikiwapo kauli ya Tanesco "tukiingia gizani tusilaumiwe" Ukitaka mambo makubwa zaidi kuhusu hii hebubonya hapa na hapa

No comments:

RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)

  . Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha  .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria  . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...