Thursday, March 26, 2009

mgawo wa umeme huooooo



HAKIKA hawa jamaa wanataka kutuchezea kupita kiasi eti wameanza mchezo wa kukatakata umeme na hili shirika letu la Umeme Tanzania (Tanesco) wanadai kutakuwa na mgawo wa dharura wa umeme kwa jiji la Dar es Salaam kwa saa nane (8) zenye mahitaji makubwa ya umeme kila siku, kutokana na kile walichosema ni kukosa huduma ya mitambo miwili ya kuzalisha umeme ya kampuni ya Songas. hali hii inajitokeza katikati ya mjadala wa ununuzi wa mitambo ya Dowans na huku ikiwapo kauli ya Tanesco "tukiingia gizani tusilaumiwe" Ukitaka mambo makubwa zaidi kuhusu hii hebubonya hapa na hapa

No comments:

Prof. Mfaransa Aja na Kitabu: Aiambia Dunia Kutalii Tanzania ni Tiba

Na Mwandishi Wetu Paris, Ufaransa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana, akiwa nchini Ufaransa jana Julai 8, 2025 amek...