Nimesikitika sana tumetolewa dakika za majeruhi. Lakini nimefurahi hatua tuliyofikia katika maendeleo ya soka. Sasa tunatambulika na kuheshimika katika ulimwengu wa soka Barani Afrika. Tuongeza bidii. Tusirudi nyuma, bali twende mbele.
Nawapongeza wachezaji kwa bidii na juhudi zao. Nawapongeza walimu kwa kazi nzuri waliyoifanya kuinua kiwango cha soka nchini. Nawapongeza viongozi wa TFF kwa uongozi wao nzuri. Nawapongeza Watanzania kwa kuiunga mkono timu yao. Mmekuwa chachu ya mafanikio haya.
Watanzania wenzangu tusife moyo. Mwanzo mgumu. Tumeanza vizuri na tumefika pazuri. Tuendeleee kuiunga mkono timu yetu. Mimi naahidi kuendelea kuiunga mkono timu yetu mpaka tufika pale tunapopataka sote.
JK
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
RC ARUSHA APOKEA UJUMBE WA MABUNGE DUNIANI (IPU)
. Kufanya Mkutano wa Mabunge Mkoani Arusha .Wajumbe zaidi ya 1500 kutoka nchi wanachama wa IPU kuhudhuria . Rais Dkt. Samia apendekezwa ...
-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
(Picha na Yahya Charahani) Katika kijiji cha Mwanjoro, wilayani Meatu – Shinyanga, maisha bado yanapumulia kwenye nyumba za udongo na mapaa...
1 comment:
Hi Charahani. Nahisi huyu president aliumia zaidi kuliko sisi. Hakika hatukufanya vibaya katika mashindano ya CHAN. tutie bidii kidogo na wachezaji wajifunze kuwa wazalendo kwanza. Hii italeta kujituma. Kuna makosa madogo ambayo yakiongewa na uzalendo 'timamu'
Post a Comment