Nimesikitika sana tumetolewa dakika za majeruhi. Lakini nimefurahi hatua tuliyofikia katika maendeleo ya soka. Sasa tunatambulika na kuheshimika katika ulimwengu wa soka Barani Afrika. Tuongeza bidii. Tusirudi nyuma, bali twende mbele.
Nawapongeza wachezaji kwa bidii na juhudi zao. Nawapongeza walimu kwa kazi nzuri waliyoifanya kuinua kiwango cha soka nchini. Nawapongeza viongozi wa TFF kwa uongozi wao nzuri. Nawapongeza Watanzania kwa kuiunga mkono timu yao. Mmekuwa chachu ya mafanikio haya.
Watanzania wenzangu tusife moyo. Mwanzo mgumu. Tumeanza vizuri na tumefika pazuri. Tuendeleee kuiunga mkono timu yetu. Mimi naahidi kuendelea kuiunga mkono timu yetu mpaka tufika pale tunapopataka sote.
JK
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
TANZANIA IMEJENGWA KWA MISINGI IMARA YA AMANI NA UZALENDO-MAJALIWA
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Tanzania imejengwa kwa misingi imara ya amani, uzalendo na maadili mema ambayo yameasisiwa na vion...

-
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa, Nehemia Kyando Mchechu na timu ya Wakurugenzi wa Shirika la Nyumba la Taifa akiwa katika ...
-
Mwanamuziki toka Jamhuri ya KIdemokrasia ya Kongo, Mbilia Bel akitumbuiza katika viwanja vya bunge mjini Dodoma jana. Picha na Jube Tranquil...
-
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA PSLE-2014 EXAMINATION RESULTS ARUSHA DAR ES SALAAM DODOMA IRINGA KAGERA KIGOMA ...
1 comment:
Hi Charahani. Nahisi huyu president aliumia zaidi kuliko sisi. Hakika hatukufanya vibaya katika mashindano ya CHAN. tutie bidii kidogo na wachezaji wajifunze kuwa wazalendo kwanza. Hii italeta kujituma. Kuna makosa madogo ambayo yakiongewa na uzalendo 'timamu'
Post a Comment