Friday, March 13, 2009

Mkasa wa Raisi mstaafu Mwinyi kupigwa kibao


Haka kajamaa kalikosa akili kabisa na adabu mbele ya wakubwa, hata kama imani imekaingia vipi, lakini kalichokifanya ni kichaaa na utofu wa adabu wa kiwangu kikubwa, taarifa zilizonifikia hivi sasa ni kwamba haka kajamaa kalikomzaba mzee mwinyi kibao kamefungwa jela mwaka mmoja kama fundisho kwake na wengine wenye adabu ndogo kama kenyewe. CLIP HII IMETOLEWA KWA HISANI YA MDAU TANGI BOVU.

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...