Wednesday, March 18, 2009

Ajali nyingine yaua 10 Mbeya

Taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema kuwa lori la mizigo likiwa linatokea eneo la Nzovwe kuelekea mjini limegonga magari sita na kusababisha vifo zaidi ya 20 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 10.
Watu waliofika katika eneo hilo wametueleza kuwa kuwa lori hilo liligonga magari hayo baada ya kukosa breki na kuserereka umbali mrefu kabla ya kuyaparamia magari mengine matano madogo ya abiria. Habari zaidi soma Mwananchi.

No comments:

NAIBU WAZIRI WA FEDHA AMWAKILISHA WAZIRI WA FEDHA KATIKA KONGAMANO LA 16 LA MWAKA LA WATAALAM WA UNUNUZI NA UGAVI – ARUSHA

Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Mhandisi Mshamu Ali Munde, amemwakilisha Waziri wa Fedha katika ufunguzi wa Kongamano la 16 la Mwaka la Wa...