Wednesday, March 18, 2009

Ajali nyingine yaua 10 Mbeya

Taarifa zilizotufikia muda mfupi uliopita zinasema kuwa lori la mizigo likiwa linatokea eneo la Nzovwe kuelekea mjini limegonga magari sita na kusababisha vifo zaidi ya 20 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 10.
Watu waliofika katika eneo hilo wametueleza kuwa kuwa lori hilo liligonga magari hayo baada ya kukosa breki na kuserereka umbali mrefu kabla ya kuyaparamia magari mengine matano madogo ya abiria. Habari zaidi soma Mwananchi.

No comments: